Ametoa ufafanuzi Ijumaa,Mei 20,2016 wakati akijibu swali la
mwandishi wa TBC1 aliyetaka kujua kama taarifa zilizoenea kuhusu
kutenguliwa kwa Waziri huyo ni za kweli.
Waziri Mkuu amesema kuna swali aliloulizwa ambalo hakulijibu vizuri
na kwamba swali hilo litapaswa kurudiwa kuulizwa baada ya wabunge
kuomba muongozo wa swali hilo.
0 comments:
Post a Comment