Wednesday, 10 April 2019

Kanuni mpya yaja, mifuko ya plastic





Waziri wa chi ofisi ya makamu wa rais ,muungano na  mazingira Mh:January Makamba amesema ,katazo la matumizi ya mifuko ya plastic siyo la kuhtukiza.

Makamba ameyasema hayo  hii leo katika mkutano na waandishi wa habari uliyofanyika  mkoani Dodoma,huku akifafanua juu ya njia mbadala itakyotumik


Makamba amewaambia waandishi kuwa ifikapo mwaka 2050 kutakuwa na taka nyingi ya mifuko hiyo kuliko wingi wa samaki katika bahari na maziwa .


Marufuku ya utengenezaji, usambazaji na matumizi ya mifuko hiyo itakayoanza rasmi juni mosi mwaka huu ,itaambatana na kanuni mpya itakayotungwa chini ya sharia ya mazingira.


Mkutano na waandishi wa habari umekuja  siku moja baada ya waziri mkuu Kasim Majaliwa  Kusema kuwa  wanafanya hivyo ili kulinda afya ya jamii,wanyama ,mazingira na miundombinu dhidi ya athari itokanayo na taka za plastiki.,



0 comments:

Post a Comment