Friday, 8 March 2019

VIDEO: Mjumbe CCM nusra atoe machozi KISA......!

VIDEO: Mjumbe CCM nusra atoe machozi KISA......!


Mjumbe  wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi Taifa  Leyla Ngozi amefanya ziara ya kutembelea  katika Shule ya Sekondari Mang'weta iliyopo kata ya Chamkoloma Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma ambapo amekiri kuhuzunishwa na changamoto zilizopo katika Shule hiyo ikiwa ni pamoja na ukosefu wa huduma ya maji,upungufu wa madarasa,maabara na kadhalika ambapo pia amesema kuwa anawashangaa  baadhi ya watu wanaopiga kelele pindi viongozi  wa chama hicho wanapotembelea mashuleni kutoa misaada

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE

Taarifa hii ni  kwa mujibu wa blog ya muungwan.

0 comments:

Post a Comment