Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mbunge Esther Matiko wameachiwa kwa dhamana baada ya kushinda rufaa ya dhamana katika Mahakama Kuu jijini Dar
Wakati huo Wabunge wawili wa Chadema Susan Kiwanga, Peter Lijualikali na wenzao saba wameachiwa kwa dhamana leo baada ya mahakama kutupilia mbali maombi ya Jamhuri ya kupinga dhamana ya washtakiwa hao.
0 comments:
Post a Comment