Benjamini Netanyahu.
Hatua hiyo inatajwa kwamba huenda ikasaidia kuyafufua mazungumzo ya amani na wapalestina hasa kwakuwa kiongozi wa Labour Herzog ni mwanasiasa anayeunga mkono kuwepo dola huru la wapalestina
Herzog ambaye chama chake kinaunda kile kinachoitwa muungano wa kizayuni kikiwa pamoja na chama cha mrengo wa kati cha Hatnuah huenda kikayawakilisha mapendekezo ya makubaliano ya kuunda serikali ya mseto mbele ya chama chake katika siku kadhaa zijazo zimeeleza ripoti.
Taarifa za ndani kutoka nchini humo zinasema kwamba kuingia serikalini kwa chama hicho kutaifanya Jumuiya ya Kimataifa kufuatilia kwa karibu kitakachotokana na hatua hiyo ambayo inaweza kuwa chachu ya kufufuliwa kwa mazungumzo ya amani na wapalestina.






0 comments:
Post a Comment