Tuesday, 12 March 2019

Viongozi wa Bodi ya Tanesco watinga Rukwa

Viongozi wa Bodi ya Tanesco watinga Rukwa


dhibiti mifumo ya umeme wa TANESCO mkoa wa Rukwa, Halfan Seba (kulia), akitoa maelezo  kuhusu uzalishaji na usambazaji wa nishati ya umeme katika mkoa huo kwa viongozi wa Bodi ya Tanesco nchini walioongozwa na Makamu mwenyekiti wa bodi hiyo, Balozi James Nzagi, leo mara baada ya kutembelea kituo hicho kilichopo eneo la majengo mjini Sumbawanga.








0 comments:

Post a Comment