Wednesday, 13 March 2019

VIDEO: Part 1: Wananchi waharisha kwa Kunywa maji machafu

VIDEO: Part 1: Wananchi waharisha kwa Kunywa maji machafu

Wananchi wa jiji la Arusha Ikiwemo Kata ya Daraja Mbili wamelalamikia kuhusu maji machafu ambayo yamewasababishia wao kuharisha kutokana na kunywa maji machafu yaliochnganyika na Kinyesi.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE



0 comments:

Post a Comment