
Tuesday, 17 May 2016
Tatizo la maji Namayuni
Wananchi
wa kata ya Namayuni kijiji cha Nahama wilayani Kilwa mkoani Lindi
wameendelea kutumia maji machafu kwa miongo kadhaa na baadhi yao
kupoteza maisha kutokana na magonjwa ya mlipuko huku halmashauri ya
wilaya hiyo ikikiri kutambua tatizo hilo.







0 comments:
Post a Comment