Saturday, 21 May 2016

FAIDA ZA NDIZI.


kichana cha ndizi

Ndizi Mbivu zina viburudisho vya kusaidia kupambana na maradhi kwa mujibu ya wa Utafiti  uliofanywa na Wamarekani  na kuwekwa kwenye tofuti ya www.medical.news.

Leo kupitia DODODSO HABARI utaweza kufahamu Faida za Kiafya za kula Ndizi Mbivu:

Husaidia kuponya mfadhaiko wa Akili (depression), Utafiti unaonesha kuwa tunda hili linauwezo mkubwa wa kupunguza na kuponya mfadhaiko wa akili kwani watu wenye changamoto hii hujisikia vizuri baada ya kula ndizi na hii ni kwa sababau ndizi ina kiburudisho.

Hurekebisha Mzunguko wa Hedhi, ikiwa wewe ni miungoni mwa wanawake wanaopata matatizo ya hedhi  unashauriwa kula ndizi mbivu.

Huongeza uwezo wa kufikiri, kwa wanafunzi hata wasio wanafunzi, ndizi ndio suluhisho la kuongezeza uwezo wa kufikiri hii ni kwa sababau ndizi ina Potassium ambayo ina uwezo wa kuamsha fikra.

Kwa wanywaji wa pombe, ndizi mbivu ina kasumba ya kuondoa ‘hangover’ kwani ni dawa ya haraka ya kuondoa uchovu unaotokana na unywaji wa pombe.

Huondoa wasiwasi, vidonda vya tumbo, hushusha joto mwilini, hurekebisha mapigo ya moyo na n.k.

 TutembeleeKupitia Dododsoblog.com --Facebook Petewilson2016@gmail.com

0 comments:

Post a Comment