Friday, 20 May 2016

Basi la mwendo kasi ( DART) Lamgonga na kumuua mtoto Dar.

na Kuua Mtoto Dar

1
Basi la mwendo kasi ( DART) jana majira ya jioni lilimgonga na kumuua mtoto anayekafiliwa kuwa na umri wa miaka mitano huku mama yake akinusurika baada ya dereva wa pikipiki waliyokuwa wamepanda kushindwa kulipita basi hilo.
Ajali hiyo imetoke leo katika makutano ya barabara eneo la mataa ya kuongozea magari Shekilango jijini Dar es Salaam.
2
3
4
5

0 comments:

Post a Comment